"Huyo Mzee Wao Ako Na Matatizo" Rigathi Gachagua

Rigathi Gachagua: "ODM nimeona wakileta upuzi, huyo mzee wao ako na matatizo ati wanataka kuekelea Kalonzo na mimi. 


Kalonzo ni bacteria? Yeye ni virus? Sasa mambo ya ugonjwa Kalonzo na mimi tunatokea wapi? 

Sisi tunatakia huyo mzee mema, tunataka wakuwe pamoja na Ruto, tuwafukuze pamoja kwa debe 2027." To read more Click here.

Comments

Popular posts from this blog

Kuna jamaa alifungwa jela miaka 7 kwa kosa la wizi wa mamilioni ya pesa. Baada ya miaka 2 akiwa jela anapata barua toka kwa babake

Today's Premier League matches