Polisi Wabobea Kwa Ujambazi

Kaulimbiu yao ni Utumishi kwa Wote. Lakini si polisi wote wanaosadiki maana halisi ya kauli hiyo. Katika siku za hivi majuzi, maafisa wa polisi wamegeuka fisi mla kondoo. 


Katika kipindi cha wiki mbili zilizopita pekee, polisi 14 na afisa mmoja wa magereza wamekamatwa kwa makosa mazito yaliyohatarisha maisha ya raia walioapa kuwalinda. Maafisa... To read more Click here.

Comments

Popular posts from this blog

Kuna jamaa alifungwa jela miaka 7 kwa kosa la wizi wa mamilioni ya pesa. Baada ya miaka 2 akiwa jela anapata barua toka kwa babake

Today's Premier League matches